Warumi 14:11-12
Warumi 14:11-12 TKU
Ndiyo, Maandiko yanasema, “‘Hakika kama niishivyo’, asema Bwana, ‘kila mtu atapiga magoti mbele zangu, na kila mtu atasema kuwa mimi ni Mungu.’” Hivyo kila mmoja wetu ataeleza kuhusu matendo yake mbele za Mungu.
Ndiyo, Maandiko yanasema, “‘Hakika kama niishivyo’, asema Bwana, ‘kila mtu atapiga magoti mbele zangu, na kila mtu atasema kuwa mimi ni Mungu.’” Hivyo kila mmoja wetu ataeleza kuhusu matendo yake mbele za Mungu.