Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 TKU

Usiku ule, baadhi ya wachungaji walikuwa mashambani nje ya mji wa Bethlehemu wakilinda kondoo zao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukaangaza kuwazunguka, wakaogopa sana.

Llegeix Luka 2

Imatge del verset per a Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 - Usiku ule, baadhi ya wachungaji walikuwa mashambani nje ya mji wa Bethlehemu wakilinda kondoo zao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukaangaza kuwazunguka, wakaogopa sana.

Plans de lectura i devocionals gratuïts relacionats amb Luka 2:8-9