Matendo 16:27-28
Matendo 16:27-28 TKU
Mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza imefunguliwa. Alidhani wafungwa wametoroka, hivyo alichukua upanga wake ili ajiue. Lakini Paulo alipaza sauti akamwambia, “Usijidhuru! Sote tuko hapa!”
Mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza imefunguliwa. Alidhani wafungwa wametoroka, hivyo alichukua upanga wake ili ajiue. Lakini Paulo alipaza sauti akamwambia, “Usijidhuru! Sote tuko hapa!”