Logotip de YouVersion
La BíbliaPlansVídeos
Aconsegueix l'aplicació
Selector d'idiomes
Icona de cerca

Versets bíblics populars de Marko 7

1

Marko 7:21-23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kwani mambo hayo yote mabaya hutoka ndani ya moyo wa mwanadamu; yaani mawazo mabaya na uasherati, wizi, mauaji, zinaa, ulafi, kufanya mabaya kwa watu, udanganyifu, kufanya uhuni, wivu, kutukana, kujivuna, na ujinga. Mambo haya yote yanatoka ndani ya mtu nayo ndiyo yanayomfanya asikubalike kwa Mungu.”

Compara

Explorar Marko 7:21-23

2

Marko 7:15

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Hakuna kitu kilicho nje ya mtu kinachoweza kumchafua kwa kumwingia. Lakini vitu vinavyotoka ndani ya mtu ndivyo vinavyomchafua.”

Compara

Explorar Marko 7:15

3

Marko 7:6

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akawaambia, “Isaya alikuwa sahihi alipotoa unabii juu yenu enyi wanafiki, kama ilivyoandikwa: ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.

Compara

Explorar Marko 7:6

4

Marko 7:7

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ibada wanayonitolea haifai, kwa sababu wanawafundisha watu amri zilizotungwa na wanadamu kana kwamba ndizo itikadi zao.’

Compara

Explorar Marko 7:7

5

Marko 7:8

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Mmezipuuza amri za Mungu, na mnashikilia desturi za binadamu.”

Compara

Explorar Marko 7:8

Plans de lectura i devocionals gratuïts relacionats amb Marko 7

Capítol anterior
Capítol següent
YouVersion

Animant-te i desafiant-te a buscar la intimitat amb Déu cada dia.

Ministeri

Sobre

Carreres

Fes-te voluntari

Blog

Premsa

Enllaços útils

Ajuda

Fer un donatiu

Versions de la Bíblia

Bíblia en àudio

Idiomes de la Bíblia

Verset del dia


Un Ministeri Digital de

Life.Church
Català

©2026 Life.Church / YouVersion

Política de privacitatCondicions d'ús
Programa de divulgació de vulnerabilitats
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest