Logotip de YouVersion
La BíbliaPlansVídeos
Aconsegueix l'aplicació
Selector d'idiomes
Icona de cerca

Versets bíblics populars de Mathayo 9

1

Mathayo 9:37-38

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akawaambia wafuasi wake, “Kuna mavuno mengi ya watu ya kuleta. Lakini kuna wafanyakazi wachache wa kusaidia kuwavuna. Mungu anamiliki mavuno. Mwombeni atume wafanyakazi wengi zaidi wa kusaidia kukusanya mavuno yake.”

Compara

Explorar Mathayo 9:37-38

2

Mathayo 9:13

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Nendeni mkajifunze andiko hili linamaanisha nini: ‘Sihitaji dhabihu ya mnyama; Ninataka ninyi mwoneshe wema kwa watu.’ Sikuja kuwaalika wema kujiunga nami, bali wenye dhambi.”

Compara

Explorar Mathayo 9:13

3

Mathayo 9:36

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu aliona watu wengi na kuwahurumia kwa sababu walikuwa wanakandamizwa na hawakuwa na tumaini; kama kondoo bila mchungaji wa kuwaongoza.

Compara

Explorar Mathayo 9:36

4

Mathayo 9:12

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alipowasikia wakisema hili, akawaambia, “Wagonjwa ndiyo wanaohitaji daktari si wenye afya.

Compara

Explorar Mathayo 9:12

5

Mathayo 9:35

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alisafiri akipita katika miji yote na vijiji. Alifundisha katika masinagogi yao na kuwaeleza watu Habari Njema kuhusu ufalme wa Mungu. Aliponya kila aina ya magonjwa na udhaifu.

Compara

Explorar Mathayo 9:35

Plans de lectura i devocionals gratuïts relacionats amb Mathayo 9

Capítol anterior
Capítol següent
YouVersion

Animant-te i desafiant-te a buscar la intimitat amb Déu cada dia.

Ministeri

Sobre

Carreres

Fes-te voluntari

Blog

Premsa

Enllaços útils

Ajuda

Fer un donatiu

Versions de la Bíblia

Bíblia en àudio

Idiomes de la Bíblia

Verset del dia


Un Ministeri Digital de

Life.Church
Català

©2026 Life.Church / YouVersion

Política de privacitatCondicions d'ús
Programa de divulgació de vulnerabilitats
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest