1
Matendo 23:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Usiku uliofuata Bwana Yesu akaja na kusimama pembeni mwa Paulo. Akamwambia, “Uwe jasiri! Umewaambia watu kuhusu mimi humu Yerusalemu. Ni lazima ufanye vivyo hivyo Rumi.”
Compara
Explorar Matendo 23:11