Soma Biblia Kila Siku 11/2024预览

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

30天中的第20天

Mfalme wa Ashuru aliwaleta watu kutoka maeneo mbalimbali na kuwafanya waishi katika maeneo alimowatoa Waisraeli. Kwa sababu hawakumcha Mungu,Bwana akapeleka simba kati yao, nao wakawaua baadhi yao(m.25). Agizo la Mfalme kuhusu kujifunzakawaida ya Mungu wa nchi(m.27) huakisi wazo la kipagani kuwa kila eneo lina mungu wake na ni muhimu kujipatanisha naye. Pamoja na kukubali wazo la mfalme, watu waliendelea kuabudu miungu yao ya asili. Kuchanganya dini namna hii, hata leo ni chukizo kwa BWANA.

读经计划介绍

Soma Biblia Kila Siku 11/2024

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu

More