Somabiblia Kila Siku 3预览

Yesu amefundisha kwamba kulishika neno lake ni dalili ya kumpenda (14:23-24). Wakati Yesu alipokuwa anasisitiza hivyo, maneno yake yalikuwa bado hayajaandikwa. Swali linakuja: Neno la Yesu ni lipi? Ni lipi lile neno tunalotakiwa kulishika? Katika somo la leo Yesu hutupa jibu la swali hili:huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu ... atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote niliyowaambia(m.26). Katika maandiko ya Mitume (Agano Jipya) twaona jinsi Yesu alivyoitimiza ahadi aliyowapa!
读经计划介绍

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More