Rom 6:17-18

Rom 6:17-18 SCLDC10

Ingawa mlikuwa watumwa wa dhambi zamani, sasa lakini – namshukuru Mungu – mmetii kwa moyo wote yale maazimio na mafundisho mliyopokea. Mlikombolewa kutoka utumwa wa dhambi, mkawa watumwa wa uadilifu

与Rom 6:17-18相关的免费读经计划和灵修短文