YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

Mathayo 12 的热门经文

1

Mathayo 12:36-37

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Basi, nawaambieni, siku ya hukumu watu watapaswa kujibu juu ya kila neno lisilofaa wanalosema. Maana kwa maneno yako utakubaliwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa kuwa na hatia.”

对照

探索 Mathayo 12:36-37

2

Mathayo 12:34

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Enyi kizazi cha nyoka! Mnawezaje kusema mambo mema hali nyinyi ni waovu? Maana mtu husema kutokana na yale yaliyojaa moyoni.

对照

探索 Mathayo 12:34

3

Mathayo 12:35

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema; na mtu mbaya hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbaya.

对照

探索 Mathayo 12:35

4

Mathayo 12:31

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu.

对照

探索 Mathayo 12:31

5

Mathayo 12:33

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

“Ufanyeni mti kuwa mzuri na matunda yake yatakuwa mazuri; ufanyeni kuwa mbaya na matunda yake yatakuwa mabaya. Mti hujulikana kwa matunda yake.

对照

探索 Mathayo 12:33

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频