1
Mathayo 11:28
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Njoni kwangu nyinyi nyote msumbukao na kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
对照
探索 Mathayo 11:28
2
Mathayo 11:29
Jifungeni nira yangu, mkajifunze kwangu, maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtatulizwa rohoni mwenu.
探索 Mathayo 11:29
3
Mathayo 11:30
Maana, nira niwapayo mimi ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.”
探索 Mathayo 11:30
4
Mathayo 11:27
“Baba yangu amenikabidhi vitu vyote. Hakuna amjuaye Mwana ila Baba, wala amjuaye Baba ila Mwana, na yeyote yule ambaye Mwana anapenda kumfunulia.
探索 Mathayo 11:27
5
Mathayo 11:4-5
Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona: Vipofu wanaona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na maskini wanahubiriwa Habari Njema.
探索 Mathayo 11:4-5
6
Mathayo 11:15
Mwenye masikio na asikie!
探索 Mathayo 11:15
主页
圣经
计划
视频