YouVersion 标志
圣经计划视频
获取软件
选择语言
搜索图标

Matendo 16 的热门经文

1

Matendo 16:31

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Wao wakamjibu, “Mwamini Bwana Yesu nawe utaokolewa pamoja na jamaa yako yote.”

对照

探索 Matendo 16:31

2

Matendo 16:25-26

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Karibu na usiku wa manane Paulo na Sila walikuwa wakisali na kuimba nyimbo za kumsifu Mungu, huku wafungwa wengine wakiwa wanasikiliza. Ghafla, kulitokea mtetemeko mkuu wa ardhi ambao uliitikisa misingi ya gereza. Mara, milango yote ikafunguka na minyororo iliyowafunga hao wafungwa ikaachana.

对照

探索 Matendo 16:25-26

3

Matendo 16:30

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

对照

探索 Matendo 16:30

4

Matendo 16:27-28

BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA

SCLDC10

Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua. Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”

对照

探索 Matendo 16:27-28

上一章
下一章
YouVersion

我们要鼓励、挑战你每天亲近上帝。

事工

关于我们

就职机会

义工

博客

新闻区

有用链接

帮助

捐赠

圣经译本

音频圣经

译本语言

今日经文


此数字事工属于

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

隐私政策使用条款
漏洞披露方案
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

主页

圣经

计划

视频