Mattayo MT. 12:36-37

Mattayo MT. 12:36-37 SWZZB1921

Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Безплатні плани читання та молитовні роздуми до Mattayo MT. 12:36-37