Yohane 2:15-16

Yohane 2:15-16 SCLDC10

Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazitawanya sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao. Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, “Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!”

Прочитати Yohane 2

Пов'язані відео

Безплатні плани читання та молитовні роздуми до Yohane 2:15-16