Mwanzo 37:6-7

Mwanzo 37:6-7 SCLDC10

Aliwaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota: Niliota kuwa sote tulikuwa shambani tukifunga miganda na ghafla mganda wangu ukainuka na kusimama wima. Miganda yenu ikakusanyika kuuzunguka na kuuinamia mganda wangu.”

Прочитати Mwanzo 37

Безплатні плани читання та молитовні роздуми до Mwanzo 37:6-7