1
Marko MT. 8:35
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Kwa maana atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza, na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili, huyu ataisalimisha.
Primerjaj
Razišči Marko MT. 8:35
2
Marko MT. 8:36
Maana itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote akapata khasara ya roho yake?
Razišči Marko MT. 8:36
3
Marko MT. 8:34
Akawaita makutano na wanafunzi wake, akawaambia, Atakae kuniandama na ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.
Razišči Marko MT. 8:34
4
Marko MT. 8:37-38
Ama mtu atoe nini badala ya roho yake? Maana killa mtu atakaenionea haya mimi, na maneno yangu, katika kizazi hiki cha zina na dhambi, Mwana wa Adamu atamwonea haya yeye atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.
Razišči Marko MT. 8:37-38
5
Marko MT. 8:29
Yeye akawauliza, Na ninyi mnasema ya kuwa mimi ni nani? Petro akamjibu akamwambia, Wewe ndiwe Kristo.
Razišči Marko MT. 8:29
Domov
Sveto pismo
Bralni načrti
Videoposnetki