Logotip YouVersion
Sveto pismoBralni načrtiVideoposnetki
Prenesi aplikacijo
Izbirnik jezika
Ikona za iskanje

Priljubljene svetopisemske vrstice iz Mathayo 1

1

Mathayo 1:21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu. Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

Primerjaj

Razišči Mathayo 1:21

2

Mathayo 1:23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mwana. Huyo watampa jina la Imanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)

Primerjaj

Razišči Mathayo 1:23

3

Mathayo 1:20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu.

Primerjaj

Razišči Mathayo 1:20

4

Mathayo 1:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.) Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.

Primerjaj

Razišči Mathayo 1:18-19

Brezplačni bralni načrti in premišljevanja, povezane z Mathayo 1

Naslednje poglavje
YouVersion

Ponujamo ti spodbudo in izziv, da vsak dan iščeš Boga.

Misijonska organizacija

Vizitka

Zaposlitve

Kako postati prostovoljec

Blog

Mediji

Uporabne povezave

Pomoč

Daruj

Prevodi Svetega pisma

Sveto pismo v zvočni obliki

Jeziki, v katerih je na voljo Sveto pismo

Vrstica dneva


Digitalni misijon organizacije

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Pravilnik o zasebnostiPogoji
Program za razkrivanje ranljivosti
FacebookTviterInstagramYouTubePinterest

Domov

Sveto pismo

Bralni načrti

Videoposnetki