Isaya 58:2

Isaya 58:2 BHN

Siku hata siku wananijia kuniabudu, wanatamani kujua mwongozo wangu, kana kwamba wao ni taifa litendalo haki, taifa lisilosahau sheria za Mungu wao. Wananitaka niamue kwa haki, na kutamani kukaa karibu na Mungu.

Читать Isaya 58

Видео по Isaya 58:2

Бесплатные планы чтения и наставления по теме Isaya 58:2