Mwanzo 19:16

Mwanzo 19:16 BHN

Loti akawa anasitasita. Lakini kwa vile Mwenyezi-Mungu alivyomhurumia Loti, wale malaika wakamshika yeye, mkewe na binti zake wawili, wakamtoa nje ya mji.

Читать Mwanzo 19

Бесплатные планы чтения и наставления по теме Mwanzo 19:16