Логотип YouVersion
БиблияПланыВидео
Скачать приложение
Выбор языка
Иконка поиска

Известные библейские стихи из 1 Mose 8

1

1 Mose 8:21-22

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana aliposikia huo mnuko wa kumpendeza Bwana akasema moyoni mwake: Sitaiapiza nchi tena kwa ajili ya watu, kwani mawazo ya mioyo ya watu ni mabaya tangu utoto wao, wala sitawapiga tena wote walio hai, kama nilivyofanya. Siku zote, nchi itakazokuwapo, hakutakoma tena kupanda na kuvuna, baridi na jua kali, kipupwe na kiangazi, mchana na usiku.

Сравнить

Изучить 1 Mose 8:21-22

2

1 Mose 8:20

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kisha Noa akamjengea Bwana pa kumtambikia, akatoa wengine katika nyama wote wa nyumbani wanaotakata na katika ndege wote wanaotakata, akawatolea hapo pa kumtambikia Bwana kuwa ng'ombe za tambiko za kuteketezwa nzima.

Сравнить

Изучить 1 Mose 8:20

3

1 Mose 8:1

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kisha Mungu akamkumbuka Noa na wale nyama wote nao nyama wa nyumbani waliokuwa naye chomboni; ndipo, Mungu alipovumisha upepo juu ya nchi; kwa hiyo maji yakaanza kupwa.

Сравнить

Изучить 1 Mose 8:1

4

1 Mose 8:11

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Huyu njiwa aliporudi kwake saa za jioni, akaona mdomoni mwake jani la mchekele, alilolivunja. Ndipo, Noa alipotambua, ya kuwa maji yamepunguaka katika nchi.

Сравнить

Изучить 1 Mose 8:11

Бесплатные планы чтения и наставления по теме 1 Mose 8

Предыдущая глава
Следующая глава
YouVersion

Поощряем и призываем вас искать близких отношений с Богом каждый день.

Служение

О нас

Вакансии

Стать волонтёром

Блог

Уголок прессы

Полезные ссылки

Помощь

Сделать пожертвование

Переводы Библии

Аудио-Библии

Языки текста Библии

Стих дня


Цифровое служение

Life.Church
Русский

©2026 Life.Church / YouVersion

Политика конфиденциальностиУсловия
Программа раскрытия уязвимостей
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest