1
Zaburi 130:5
Neno
NEN
Namngojea BWANA, nafsi yangu inangojea, katika neno lake naweka tumaini langu.
Compară
Explorează Zaburi 130:5
2
Zaburi 130:4
Lakini kwako kuna msamaha, kwa hiyo wewe unaogopwa.
Explorează Zaburi 130:4
3
Zaburi 130:6
Nafsi yangu inamngojea Bwana kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi, naam, kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi.
Explorează Zaburi 130:6
4
Zaburi 130:2
Ee Bwana, sikia sauti yangu. Masikio yako na yawe masikivu kwa kilio changu unihurumie.
Explorează Zaburi 130:2
5
Zaburi 130:1
Kutoka vilindini ninakulilia, Ee BWANA.
Explorează Zaburi 130:1