YouVersion logo
BibelLeseplanerVideoer
Få appen
Språkvelger
Søkeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 12

1

Mathayo 12:36-37

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ninawaambia kuwa kila mmoja atajibu kwa ajili ya mambo yasiyo ya maana waliyosema. Hili litatokea siku ya hukumu. Maneno yenu yatatumika kuwahukumu ninyi. Uliyosema yataamua ikiwa una haki mbele za Mungu au unahukumiwa na Mungu.”

Sammenlign

Utforsk Mathayo 12:36-37

2

Mathayo 12:34

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ninyi nyoka! Ni waovu sana. Mnawezaje mkasema chochote kilicho chema? Kile ambacho watu husema kwa midomo yao kinatoka katika yale yaliyojaa katika mioyo yao.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 12:34

3

Mathayo 12:35

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Walio wema wana vitu vizuri vilivyotunzwa katika mioyo yao. Ndiyo maana husema mambo mazuri. Lakini wale walio waovu wana mioyo iliyojaa uovu, na ndiyo sababu husema mambo maovu.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 12:35

4

Mathayo 12:31

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Hivyo ninawaambia, Mungu atawasamehe watu kila dhambi wanayotenda au kila jambo baya wanalosema kinyume naye. Lakini yeyote anayesema kinyume na Roho Mtakatifu hatasamehewa.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 12:31

5

Mathayo 12:33

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ikiwa unataka matunda mazuri, ni lazima uutunze mti vizuri. Ikiwa mti wako siyo mzuri, utakuwa na matunda mabaya. Mti unajulikana kutokana na aina ya matunda inaozalisha.

Sammenlign

Utforsk Mathayo 12:33

Gratis leseplaner og andakter relatert til Mathayo 12

Forrige kapittel
Neste kapittel
YouVersion

Oppmuntrer og utfordrer deg til å søke nærhet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Frivillig

Blogg

Presse

Nyttige lenker

Hjelp

Gi

Bibeloversettelser

Lydbibler

Bibelspråk

Dagens bibelvers


En digital tjeneste av

Life.Church
Norsk

©2026 Life.Church / YouVersion

PersonvernerklæringVilkår
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest