Matayo 24:7-8
Matayo 24:7-8 SWC02
Kwa maana taifa litapigana na taifa, na ufalme utapigana na ufalme. Kutakuwa njaa na tetemeko ya inchi katika pahali mbalimbali. Na haya yote ni kama mwanzo wa maumivu ya kuzaa tu.
Kwa maana taifa litapigana na taifa, na ufalme utapigana na ufalme. Kutakuwa njaa na tetemeko ya inchi katika pahali mbalimbali. Na haya yote ni kama mwanzo wa maumivu ya kuzaa tu.