1
Matayo 8:26
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yesu akawajibu: “Sababu gani munaogopa kama hivi? Hakika imani yenu ni ndogo!” Halafu akasimama, akakaripia zoruba na maji na kukakuwa kimya kabisa ndani ya ziwa.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 8:26
2
Matayo 8:8
Lakini yule mukubwa akamujibu: “Bwana, mimi sistahili kukupokea ndani ya nyumba yangu. Lakini uamuru kwa neno tu na mutumishi wangu atapona.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 8:8
3
Matayo 8:10
Yesu aliposikia maneno haya, akashangaa na kuwaambia watu waliomufuata: “Kweli ninawaambia: katika inchi yote ya Israeli, sijaona bado mutu anayekuwa na imani kubwa kama huyu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 8:10
4
Matayo 8:13
Kisha Yesu akamwambia yule mukubwa wa waaskari hivi: “Urudie kwako, na ifanyike kwako sawa ulivyoamini.” Na saa ile ile mutumishi wake akapona.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 8:13
5
Matayo 8:27
Nao wakashangaa, wakisema: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”
अन्वेषण गर्नुहोस् Matayo 8:27
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू