1
Matendo ya Mitume 4:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
“Hivi hakuna anayeweza kuokolewa kwa njia ya mutu mwingine yeyote, kwa maana katika dunia nzima hakuna jina lingine lolote watu walilopewa lenye uwezo wa kuwaokoa.”
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् Matendo ya Mitume 4:12
2
Matendo ya Mitume 4:31
Walipokwisha kuomba, nafasi ile walipokuwa wakikusanyika ikatikisika. Nao wote wakajazwa na Roho Mutakatifu na kuanza kutangaza Neno la Mungu kwa uhodari.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matendo ya Mitume 4:31
3
Matendo ya Mitume 4:29
Na sasa Ee Bwana, angalia vitisho vyao. Basi utuwezeshe sisi watumishi wako tupate kutangaza neno lako kwa uhodari kabisa.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matendo ya Mitume 4:29
4
Matendo ya Mitume 4:11
Yeye ndiye Maandiko Matakatifu yanayosema hivi juu yake: ‘Jiwe lililokataliwa na ninyi wajengaji, limekuwa sasa jiwe kubwa la musingi.’
अन्वेषण गर्नुहोस् Matendo ya Mitume 4:11
5
Matendo ya Mitume 4:13
Wajumbe wa Baraza Kubwa walishangaa sana kuona namna Petro na Yoane walivyosema bila woga na kujua kwamba walikuwa watu wasiojulikana na wasiokuwa na elimu. Wakatambua kwamba walikuwa pamoja na Yesu.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matendo ya Mitume 4:13
6
Matendo ya Mitume 4:32
Kundi lote la waamini walikuwa na roho moja na nia moja. Hakuna hata mumoja wao aliyehesabia mali yake kuwa yake mwenyewe, lakini walishirikiana katika vitu vyote.
अन्वेषण गर्नुहोस् Matendo ya Mitume 4:32
होम
बाइबल
भक्त्ति पाठहरू
भिडियोहरू