1
2 Wakorinto 10:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
kuangusha vizuizo vyote watu wanavyojivunia kwa kupinga elimu ya Mungu. Tunatawala mafikiri ya watu na kuyafanya yapate kumutii Kristo.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् 2 Wakorinto 10:5
2
2 Wakorinto 10:4
Silaha tunazotumia katika vita si za kimwili, lakini silaha zetu ni uwezo wa Mungu unaoweza kuharibu upango wa adui. Tunaharibu mawazo ya uongo na
अन्वेषण गर्नुहोस् 2 Wakorinto 10:4
3
2 Wakorinto 10:3
Kwa maana ijapokuwa tunaishi katika dunia, lakini hatufanyi vita kwa namna ya kimwili.
अन्वेषण गर्नुहोस् 2 Wakorinto 10:3
4
2 Wakorinto 10:18
Kwa maana, mutu anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, lakini ni yule anayesifiwa na Bwana.
अन्वेषण गर्नुहोस् 2 Wakorinto 10:18