1
1 Yoane 3:18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Watoto wangu, upendo wetu usikuwe wa masemi tu; lakini unapaswa kuwa upendo wa kweli na unaoonekana kwa matendo.
तुलना
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:18
2
1 Yoane 3:16
Sisi tumetambua upendo kwa njia hii: Yesu Kristo alitoa uzima wake kwa ajili yetu. Nasi vilevile tunapaswa kutoa uzima wetu kwa ajili ya wandugu zetu.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:16
3
1 Yoane 3:1
Muangalie namna Baba alivyoonyesha upendo wake kwetu hata tupate kuitwa watoto wa Mungu! Na kwa hakika sisi ndio wao! Ndiyo maana watu wa dunia hawatutambui, kwa sababu hawakumujua Mungu.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:1
4
1 Yoane 3:8
Mutu anayefanya zambi ni mutu wa Shetani, kwa maana Shetani anafanya zambi tangia mwanzo wa vitu vyote. Kwa sababu hii, Mwana wa Mungu alikuja kusudi aharibu kazi za Shetani.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:8
5
1 Yoane 3:9
Kila mutu anayekuwa mutoto wa Mungu hafanyi zambi, kwa sababu neno la Mungu linakaa ndani yake; tena hawezi kufanya zambi, maana Mungu ni baba yake.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:9
6
1 Yoane 3:17
Mutu akiwa na mali ya dunia hii naye akimwona ndugu yake katika hitaji, lakini hataki kumusikilia huruma, mutu yule anaweza kusema kwamba anamupenda Mungu?
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:17
7
1 Yoane 3:24
Mutu anayetii amri za Mungu anakaa ndani yake, na Mungu anakaa ndani ya yule mutu. Tunatambua kwamba Mungu anakaa ndani yetu kwa njia ya Roho Mutakatifu aliyetupatia.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:24
8
1 Yoane 3:10
Hii ndiyo njia inayoonyesha wazi tofauti kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Shetani. Mutu asiyetenda mambo ya haki au asiyemupenda ndugu yake si mutoto wa Mungu.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:10
9
1 Yoane 3:11
Kwa maana huu ndio ujumbe muliosikia tangia mbele: tupendane sisi kwa sisi.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:11
10
1 Yoane 3:13
Basi wandugu zangu, musishangae kama watu wa dunia hii wakiwachukia ninyi.
अन्वेषण गर्नुहोस् 1 Yoane 3:13