Hadithi ya Pasaka: Kuchunguza Kifo na Ufufuo wa Yesu

16 Hari
Kusulubishwa na kufufuka kwa Yesu kumeelezwa katika injili zote nne. Likizo hii ya Pasaka, soma kuhusu jinsi Yesu alivyovumilia usaliti, mateso na kudhalilishwa msalabani kabla ya kubadilisha dunia kupitia tumaini lililotolewa kwa ufufuo wake. Video fupi yaeleza kila upande wa hadithi kwa kila siku ya mpango huu.
Tungependa kuwashukuru GNPI Kenya kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.gnpi.org/tgg
Pelan yang Berkaitan

Dimeterai - Bahagian 1

Apakah Tujuan Saya? Belajar Mengasihi Allah dan Mengasihi Orang Lain

Dimeterai —Bahagian 3

Mengasihi dan Terus Mengasihi

Serahkanlah Segala Kekhuatiran Kamu

Anthem:Kasih Kurnia dalam Cerita Hidup Anda

Sukacita untuk Perjalanan: Menemui Harapan di Tengah-tengah Dugaan

Terpilih - Mendedahkan Wanita dalam Kristus

Benih: Apa dan Mengapa
