1
Rom 2:3-4
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
SCLDC10
Lakini wewe rafiki unayewahukumu wale wanaofanya mambo kama hayo hali wewe pia unayafanya, je unadhani utaiepa hukumu ya Mungu? Au labda unaudharau wema wake mkuu, uvumilivu wake na saburi yake, bila kutambua kwamba wema wake huo una shabaha ya kukuongoza upate kutubu?
Bandingkan
Selidiki Rom 2:3-4
2
Rom 2:1
Basi, rafiki, kama unawahukumu wengine, huwezi kamwe kujitetea, hata kama wewe ni nani. Kwa maana, kwa kuwahukumu wengine, unajilaani wewe mwenyewe kwa vile nawe unayafanya mambo yaleyale unayohukumu.
Selidiki Rom 2:1
3
Rom 2:11
Maana Mungu hambagui mtu yeyote.
Selidiki Rom 2:11
4
Rom 2:13
Maana sio wanaosikia sheria ndio walio waadilifu mbele ya Mungu, ila wenye kuitii sheria ndio watakaokubaliwa kuwa waadilifu.
Selidiki Rom 2:13
5
Rom 2:6
Siku hiyo Mungu atamlipa kila mmoja kufuatana na matendo yake.
Selidiki Rom 2:6
6
Rom 2:8
Lakini wale wengine wenye ubinafsi, wenye kukataa mambo ya haki na kufuata uovu, wataangukiwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.
Selidiki Rom 2:8
7
Rom 2:5
Lakini unao ugumu na ukaidi wa moyo, na hivyo unajirundikia adhabu kwa siku ile ya ghadhabu wakati hukumu ya haki ya Mungu itakapodhihirishwa.
Selidiki Rom 2:5