Logo YouVersion
AlkitabPelanVideo
Dapatkan apl
Pemilih Bahasa
Ikon Carian

Ayat Alkitab yang Popular daripada Luka 23

1

Luka 23:34

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Yesu akasema, “Baba, wasamehe, kwa maana hawajui walitendalo!” Wakagawana nguo zake kwa kupiga kura.

Bandingkan

Selidiki Luka 23:34

2

Luka 23:43

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Yesu akamjibu, “Amin, nakuambia, leo utakuwa pamoja nami Paradiso.”

Bandingkan

Selidiki Luka 23:43

3

Luka 23:42

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Kisha akasema, “Yesu, unikumbuke utakapokuja katika ufalme wako.”

Bandingkan

Selidiki Luka 23:42

4

Luka 23:46

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Yesu akapaza sauti yake akasema, “Baba, mikononi mwako naikabidhi roho yangu.” Baada ya kusema haya, akakata roho.

Bandingkan

Selidiki Luka 23:46

5

Luka 23:33

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Walipofika mahali paitwapo Fuvu la Kichwa, hapo ndipo walimsulubisha Yesu pamoja na hao wahalifu, mmoja upande wake wa kuume, na mwingine upande wake wa kushoto.

Bandingkan

Selidiki Luka 23:33

6

Luka 23:44-45

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Ilikuwa kama saa sita mchana, nalo giza likafunika nchi yote hadi saa tisa, kwa sababu jua liliacha kutoa nuru. Pazia la Hekalu likachanika vipande viwili.

Bandingkan

Selidiki Luka 23:44-45

7

Luka 23:47

Neno: Bibilia Takatifu 2025

NENO

Yule jemadari alipoona yaliyotukia, akamsifu Mungu, akasema, “Hakika, mtu huyu alikuwa mwenye haki.”

Bandingkan

Selidiki Luka 23:47

Pelan Bacaan dan Renungan percuma yang berkaitan dengan Luka 23

Bab Sebelumnya
Bab Seterusnya
YouVersion

Mendorong dan mencabar anda untuk mencari hubungan rapat dengan Allah setiap hari.

Pelayanan

Perihal

Kerjaya

Jadi Sukarelawan

Blog

Akhbar

Pautan Berguna

Bantuan

Menderma

Versi Alkitab

Alkitab Audio

Bahasa Alkitab

Ayat Hari Ini


Pelayanan Digital

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Polisi PrivasiTerma
Program Pendedahan Kerentanan
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Halaman Utama

Alkitab

Pelan

Video