1
Luka 2:11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
TKU
Kwa sababu leo katika mji wa Daudi amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo, Bwana.
താരതമ്യം
Luka 2:11 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
2
Luka 2:10
Malaika akawaambia, “Msiogope, kwa kuwa nimewaletea habari njema zitakazowafurahisha watu wa Mungu wote.
Luka 2:10 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
3
Luka 2:14
“Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na amani iwepo duniani kwa watu wote wanaompendeza.”
Luka 2:14 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
4
Luka 2:52
Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Luka 2:52 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
5
Luka 2:12
Na hivi ndivyo mtakavyomtambua: Mtamkuta mtoto mchanga amevingirishiwa nguo na amelala katika hori la kulishia mifugo.”
Luka 2:12 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
6
Luka 2:8-9
Usiku ule, baadhi ya wachungaji walikuwa mashambani nje ya mji wa Bethlehemu wakilinda kondoo zao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukaangaza kuwazunguka, wakaogopa sana.
Luka 2:8-9 പര്യവേക്ഷണം ചെയ്യുക
ആദ്യത്തെ സ്ക്രീൻ
വേദപുസ്തകം
പദ്ധതികൾ
വീഡിയോകൾ