Waroma 10:11-13
Waroma 10:11-13 SRB37
Kwani Maandiko yasema: Kila anayemtegemea hatatwezeka. Kwani hapa hawachaguliwi Wayuda na Wagriki; kwani aliye Bwana wao wote ni yuyu huyu mmoja, ni mwenye magawio yanayowatoshea wote wanaomtambikia. Kwani; Kila atakayelitambikia Jina la Bwana ataokoka.





