Logo YouVersion
Icona Cerca

Yohana 14:16-17

Yohana 14:16-17 SRB37

Nami nitamwomba Baba, naye atawapa mtuliza mioyo mwingine, akae pamoja nanyi kale na kale. Ndiye Roho wa kweli, ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa sababu haumwoni, wala haumtambui. Ninyi mnamtambua, kwani anakaa kwenu, naye atakuwamo mwenu.

Piani di Lettura e Devozionali gratuiti relativi a Yohana 14:16-17