1
Yohana 17:17
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Watakase, wawe wa kweli! Neno lako ndilo la kweli.
Confronta
Esplora Yohana 17:17
2
Yohana 17:3
Nao huu ndio uzima wa kale na kale, wakutambue wewe, kwamba ndiwe peke yako Mungu wa kweli, tena wamtambue yule, uliyemtuma, kwamba ndiye Yesu Kristo.
Esplora Yohana 17:3
3
Yohana 17:20-21
Lakini si hawa tu, ninaowaombea, ila nawaombea hata wale watakaonitegemea wakilisikia neno lao. Wote wapate kuwa mmoja, kama ulivyomo mwangu, wewe Baba, nami nilivyomo mwako! Wapate kuwamo mwetu nao hao, ulimwengu upate kunitegemea, ya kuwa wewe umenituma.
Esplora Yohana 17:20-21
4
Yohana 17:15
Siombi, uwaondoe ulimwenguni, ila naomba, uwalinde, yule Mbaya asiwajie.
Esplora Yohana 17:15
5
Yohana 17:22-23
Nami nimewapa utukufu, ulionipa wewe, wapate kuwa mmoja, kama sisi tulivyo mmoja. Mimi niwemo mwao, nawe wewe uwemo mwangu, wawe watu waliomaliza kuwa mmoja, nao ulimwengu utambue, ya kuwa wewe umenituma, kisha umewapenda, kama ulivyonipenda mimi.
Esplora Yohana 17:22-23