1
Matendo ya Mitume 12:5
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Petero alipolindwa hivyo kifungoni, wateule wakamwombea kwa Mungu pasipo kuchoka.
Confronta
Esplora Matendo ya Mitume 12:5
2
Matendo ya Mitume 12:7
Mara malaika wa Bwana akasimama hapo karibu, nao mwanga ukamulika chumbani. Akamwamsha Petero kwa kumpiga ubavu akisema: Inuka upesi! Ndipo, mapingu yalipomwanguka mikononi.
Esplora Matendo ya Mitume 12:7