1
Marko 16:15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kisha akawaambia: “Mwende katika dunia yote na kuhubiri Habari Njema kwa kila mutu.
Bera saman
Njòttu Marko 16:15
2
Marko 16:17-18
Nao wote watakaoniamini watafanya vitambulisho hivi: watafukuza pepo kwa jina langu; watasema kwa luga mupya; wakishika nyoka au kunywa sumu yoyote, hawatakufa. Wataweka mikono yao juu ya wagonjwa, nao watapona.”
Njòttu Marko 16:17-18
3
Marko 16:16
Anayeamini na kubatizwa ataokolewa, lakini asiyeamini atahukumiwa.
Njòttu Marko 16:16
4
Marko 16:20
Nao wanafunzi wakaenda kuhubiri fasi zote. Bwana akatumika pamoja nao na kuhakikisha ukweli wa mahubiri yao kwa njia ya vitambulisho walivyofanya.]
Njòttu Marko 16:20
5
Marko 16:6
Lakini kijana yule akawaambia: “Musishituke! Munamutafuta Yesu wa Nazareti aliyetundikwa juu ya musalaba. Yeye amefufuka, hayuko hapa. Muangalie, hapa ni pahali walipomuweka.
Njòttu Marko 16:6
6
Marko 16:4-5
Lakini walipoinua macho, wakaona kwamba lile jiwe lilikuwa limekwisha kusukumwa pembeni. (Jiwe lile lilikuwa kubwa sana.) Basi wakaingia ndani ya kaburi, na mule wakaona kijana mumoja akiikaa upande wa kuume, akivaa kanzu nyeupe. Nao wakashituka.
Njòttu Marko 16:4-5