Merki YouVersion
BiblíaÁætlanirMyndbönd
Sæktu forritið
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Marko 15

1

Marko 15:34

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”

Bera saman

Njòttu Marko 15:34

2

Marko 15:39

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Mukubwa wa waaskari aliyekuwa akisimama mbele ya Yesu, alipoona namna alivyokata roho, akasema: “Hakika mutu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”

Bera saman

Njòttu Marko 15:39

3

Marko 15:38

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Basi pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.

Bera saman

Njòttu Marko 15:38

4

Marko 15:37

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Lakini Yesu akalalamika kwa sauti kubwa, akakata roho.

Bera saman

Njòttu Marko 15:37

5

Marko 15:33

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.

Bera saman

Njòttu Marko 15:33

6

Marko 15:15

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa kuwa Pilato alitaka kuwapendeza watu, basi akawafungulia Baraba. Na kisha kuamuru wamupige Yesu fimbo, akamutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.

Bera saman

Njòttu Marko 15:15

Ókeypis lestraráætlanir og hugleiðingar sem tengjast Marko 15

Fyrri kafli
Næsti kafli
YouVersion

Hvetur þig áfram og skorar á þig að leita samfélags við Guð á hverjum degi.

Kirkjustarf

Um YouVersion

Starfsferill

Sjálfboðaliði

Blogg

Fjölmiðlar

Gagnlegar hlekkir

Hjálp

Gefa

Bíblíuútgáfa

Hljóðbiblíur

Tungumál Biblíunnar

Vers dagsins


Stafræn kirkja

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

FriðhelgisstefnaSkilmálar
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYoutubePinterest