1
Mwanzo 26:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ukae katika inchi hiyo, nami nitakuwa pamoja nawe na kukubariki. Nitatimiza ahadi niliyomupa baba yako Abrahamu, maana nitakupa wewe na wazao wako inchi hizi zote.
Bera saman
Njòttu Mwanzo 26:3
2
Mwanzo 26:4-5
Nitawazidisha wazao wako wakuwe kama nyota za mbinguni na kuwapa inchi hizi zote. Kutokana na wazao wako, mataifa yote katika dunia yatabarikiwa, kwa sababu Abrahamu alinitii mimi, akashika maagizo yangu, amri zangu, masharti yangu na sheria zangu.”
Njòttu Mwanzo 26:4-5
3
Mwanzo 26:22
Kisha Isaka akakwenda pahali pengine na kuchimba kisima kingine. Lakini hicho hawakukigombania. Hivyo Isaka akakiita “Nafasi Pana”, akisema: “Sasa Yawe ametuachia nafasi, nasi tutastawi katika inchi hii.”
Njòttu Mwanzo 26:22
4
Mwanzo 26:2
Yawe akamutokea Isaka na kumwambia: “Usiende Misri, lakini ukae katika inchi nitakayokuambia.
Njòttu Mwanzo 26:2
5
Mwanzo 26:25
Kwa hiyo, Isaka akajenga mazabahu kule na kumwabudu Yawe. Akapiga kambi kule, na watumishi wake wakachimba kisima.
Njòttu Mwanzo 26:25
Heim
Biblía
Áætlanir
Myndbönd