Walipofika pahali panapoitwa Mara, hawakuweza kunywa maji ya Mara kwa sababu yalikuwa machungu. Kwa sababu hiyo pahali pale pakaitwa Mara, ni kusema “Uchungu”. Basi, watu wote wakamunungunikia Musa wakisema: “Sasa tutakunywa nini?” Halafu Musa akamulilia Yawe, naye akamwonyesha kipande cha muti, na Musa akakitumbukiza katika maji. Maji hayo yakakuwa mazuri.
Kule Mungu aliwapa Waisraeli sharti na agizo, kusudi awapime