Merki YouVersion
BiblíaÁætlanirMyndbönd
Sæktu forritið
Tungumálaval
Leitartákn

Popular Bible Verses from Danieli 2

1

Danieli 2:20-22

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

akasema: Jina la Mungu litukuzwe milele na milele. Hekima na nguvu ni vyake. Anabadilisha nyakati na wakati, anaondoa na kuwatawalisha wafalme. Anawapa hekima wenye hekima, anawaongezea wenye maarifa ufahamu. Anafunua siri na mafumbo, anajua kinachokuwa katika giza, mwangaza unakaa kwake.

Bera saman

Njòttu Danieli 2:20-22

2

Danieli 2:27-28

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Danieli akamujibu mufalme: Hakuna wenye hekima, wachawi, waganga wala waaguzi wanaoweza kukujulisha fumbo hilo lako. Lakini, kuna Mungu mbinguni ambaye anafumbua mafumbo, naye amekujulisha, ee mufalme Nebukadneza, mambo yatakayotukia katika siku zinazokuja. Ndoto yako na maono yaliyokufikia ulipokuwa unalala ni haya

Bera saman

Njòttu Danieli 2:27-28

3

Danieli 2:44

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Wakati wa wafalme wale, Mungu wa mbinguni ataanzisha ufalme ambao hautaangamizwa hata kidogo. Watu wengine hawataushinda na kuutawala ufalme huo, lakini ufalme huo utaziponda na kuzikomesha falme zilizotangulia, nao utadumu milele.

Bera saman

Njòttu Danieli 2:44

Ókeypis lestraráætlanir og hugleiðingar sem tengjast Danieli 2

Fyrri kafli
Næsti kafli
YouVersion

Hvetur þig áfram og skorar á þig að leita samfélags við Guð á hverjum degi.

Kirkjustarf

Um YouVersion

Starfsferill

Sjálfboðaliði

Blogg

Fjölmiðlar

Gagnlegar hlekkir

Hjálp

Gefa

Bíblíuútgáfa

Hljóðbiblíur

Tungumál Biblíunnar

Vers dagsins


Stafræn kirkja

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

FriðhelgisstefnaSkilmálar
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYoutubePinterest