1
Yeremia 29:11
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Maana, mimi ninajua mupango ninaokuwa nao juu yenu. –Ni ujumbe wa Yawe.– Nayo mipango yangu ni ya kuwatendea mema wala si mabaya, kusudi mupate kuwa na tumaini katika siku zinazokuja.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yeremia 29:11
2
Yeremia 29:13
Mutanitafuta mimi na kuniona. Mutakaponitafuta kwa moyo wote
Nyochaa Yeremia 29:13
3
Yeremia 29:12
Kwa hiyo mutakapokuja kunililia na kuniomba, nitawasikiliza.
Nyochaa Yeremia 29:12
4
Yeremia 29:14
mutaniona. Nitatengeneza upya maisha yenu na kuwakusanya kutoka mataifa yote na pahali pote nilipowasambaza. Nitawarudisha pahali nilipowaondoa wakati nilipowapeleka katika uhamisho. –Ni ujumbe wa Yawe.
Nyochaa Yeremia 29:14
5
Yeremia 29:10
Yawe anasema hivi: Mutakapopitisha miaka makumi saba huko Babeli, nitawashugulikia na kuitimiza ahadi yangu ya kuwarudisha kwa nafasi hii.
Nyochaa Yeremia 29:10