1
Yeremia 27:5
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ni mimi niliyeumba dunia, watu na nyama wanaokuwa ndani yake kwa uwezo wangu na kwa nguvu zangu kubwa. Nami ninaitoa kwa yeyote ninayetaka.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yeremia 27:5
2
Yeremia 27:6
Sasa nimetoa inchi zote kwa mutumishi wangu Nebukadneza mufalme wa Babeli. Vilevile nimemupa nyama wa pori wamutumikie.
Nyochaa Yeremia 27:6
3
Yeremia 27:9
Basi, ninyi musiwasikilize manabii wenu, wapiga ramuli wenu, wafasiriaji wenu wa ndoto, waaguzi wenu au wachawi wenu, wanaowaambia kwamba musimutii mufalme wa Babeli.
Nyochaa Yeremia 27:9
4
Yeremia 27:22
Vyombo hivyo vitapelekwa Babeli, navyo vitabaki huko mpaka siku nitakapovishugulikia. Hapo ndipo nitakapovirudisha na kuviweka tena pahali hapa. –Ni ujumbe wa Yawe.
Nyochaa Yeremia 27:22