1
Yeremia 26:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Sasa basi, mugeuze mienendo yenu na matendo yenu na kutii sauti ya Yawe, Mungu wenu. Mukifanya hivyo, Yawe atabadilisha nia yake na kuacha kuwaletea hasara aliyokusudia kuleta juu yenu.
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Yeremia 26:13
2
Yeremia 26:3
Labda watayasikiliza na kila mumoja wao ataacha njia yake mbaya. Wakifanya hivyo, nitabadilisha nia yangu juu ya hasara niliyokusudia kuleta juu yao kwa sababu ya matendo yao maovu.
Nyochaa Yeremia 26:3