INJILI ULIMWENGUNI - SEHEMU YA TANOEgzanp

MFANO WA WAJENZI WENYE AKILI NA WAPUMBAVU
24 “Kwa hiyo kila mtu ayasikiaye haya maneno yangu na kuyatenda, ni kama mtu mwenye busara aliyejenga nyumba yake kwenye mwamba.
25 Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja na upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, lakini haikuanguka kwa sababu msingi wake ulikuwa kwenye mwamba.
26 Naye kila anayesikia haya maneno yangu wala asiyatende, ni kama mtu mjinga aliyejenga nyumba yake kwenye mchanga.
27 Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, nao upepo ukavuma ukaipiga hiyo nyumba, nayo ikaanguka kwa kishindo kikubwa.”
"28 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria."
Ekriti
Konsènan Plan sa a

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana
More
Plan ki liye yo

Mirak Jezi : Revele idantite divin Li

Karèm/Pak : Dènye jou Jezi yo

Bondye pa ChatGPT

Karèm/Pak : Jezi fè fas ak lanmò avèk kouraj

Istwa Nwèl : 5 jou sou nesans Jezi

Parabòl Jezi : Eksplikasyon pratik sou Peyi Wa a

Grandi Nan Sanktifikasyon

Gerizon Jezi : Eksplore pouvwa & konpasyon

Karèm/Pak : Jezi soufri, mouri, epi genyen viktwa
