Injili Ulimwenguni - Sehemu 2Egzanp

Kujaribiwa Kwa Yesu
Kisha Yesu akaongozwa na Roho Mtakatifu kuingia nyikani ili akajaribiwe na ibilisi.
Baada ya kufunga siku arobaini mchana na usiku, hatimaye akaona njaa.
Mjaribu akamjia na kumwambia, “Kama wewe ndiye Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
Lakini Yesu akajibu, “Imeandikwa, ‘Mtu haishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu.’ ”
Ndipo ibilisi akamchukua Yesu mpaka mji mtakatifu wa Yerusalemu na kumweka juu ya mnara mrefu mwembamba wa Hekalu,akamwambia,
"“Kama wewe ndiye Mwana wa Mungu jitupe chini, kwa kuwa imeandikwa,“ ‘Atakuagizia malaika zake,nao watakuchukua mikononi mwao ili usije ukajikwaa mguu wako kwenye jiwe.’ ”
Yesu akamjibu, “Pia imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’ ”
Kwa mara nyingine, ibilisi akamchukua Yesu mpaka kwenye kilele cha mlima mrefu na kumwonyesha falme zote za dunia na fahari zake, kisha akamwambia,“Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”
Yesu akamwambia, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako, nawe utamtumikia yeye peke yake.”
Ndipo ibilisi akamwacha, nao malaika wakaja na kumtumikia.
Ekriti
Konsènan Plan sa a

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Plan ki liye yo

Ansèyman Jezi : Desizyon saj & benediksyon ki dire

Karèm/Pak : Dènye jou Jezi yo

Parabòl Jezi : Eksplikasyon pratik sou Peyi Wa a

Grandi Nan Sanktifikasyon

Istwa Nwèl : 5 jou sou nesans Jezi

Karèm/Pak : Jezi fè fas ak lanmò avèk kouraj

Karèm/Pak : Jezi soufri, mouri, epi genyen viktwa

Bondye pa ChatGPT

Gerizon Jezi : Eksplore pouvwa & konpasyon
