Logo YouVersion
BibPlan yoVideyo
Pran aplikasyon an
Seleksyone Lang
Chache Icon

Vèsè popilè nan Bib la ki soti nan 1 Mose 2

1

1 Mose 2:24

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Konpare

Eksplore 1 Mose 2:24

2

1 Mose 2:18

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana Mungu akasema: Hiafai, mtu akiwa peke yake, nitamfanyizia mwenziwe wa kusaidiana naye.

Konpare

Eksplore 1 Mose 2:18

3

1 Mose 2:7

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Naye Bwana Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza na kutumia mavumbi ya nchi, kisha akampulizia puani mwake pumzi ya uzima; ndipo, mtu alipopata kuwa mwenye roho ya uzima.

Konpare

Eksplore 1 Mose 2:7

4

1 Mose 2:23

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Adamu akasema: Kweli huyu ni mfupa utokao katika mifupa yangu, ni mwenye mwili utokao mwilini mwangu; kwa hiyo ataitwa mwanamke, kwa kuwa ametolewa katika mwanamume.

Konpare

Eksplore 1 Mose 2:23

5

1 Mose 2:3

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

kwa hiyo Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alizipumzikia kazi zake zote, alizozifanya za kuumba.

Konpare

Eksplore 1 Mose 2:3

6

1 Mose 2:25

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Nao wote wawili, Adamu na mkewe, walikuwa wenye uchi, lakini hawakuona soni.

Konpare

Eksplore 1 Mose 2:25

Chapit Avan yo
Chapit suivan
YouVersion

Ankouraje ak defi pou w chèche entimite ak Bondye chak jou.

Ministè

Apwopo

Karyè yo

Volontè

Blòg

Peze

Lyen itil yo

Ed

Fè yon don

Vèsyon Bib yo

Odyo Bib yo

Diferan Lang yo nan Bib la

Vèsè Jodi a


Yon Ministè Digital nan

Life.Church
Kreyòl Ayisyen

©2026 Life.Church / YouVersion

Politik PriveTèm yo
Pwogram Divilgasyon Vilnerabilite
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest