Logo YouVersion
BibPlan yoVideyo
Pran aplikasyon an
Seleksyone Lang
Chache Icon

Vèsè popilè nan Bib la ki soti nan Mathayo 9

1

Mathayo 9:37-38

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akawaambia wafuasi wake, “Kuna mavuno mengi ya watu ya kuleta. Lakini kuna wafanyakazi wachache wa kusaidia kuwavuna. Mungu anamiliki mavuno. Mwombeni atume wafanyakazi wengi zaidi wa kusaidia kukusanya mavuno yake.”

Konpare

Eksplore Mathayo 9:37-38

2

Mathayo 9:13

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Nendeni mkajifunze andiko hili linamaanisha nini: ‘Sihitaji dhabihu ya mnyama; Ninataka ninyi mwoneshe wema kwa watu.’ Sikuja kuwaalika wema kujiunga nami, bali wenye dhambi.”

Konpare

Eksplore Mathayo 9:13

3

Mathayo 9:36

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu aliona watu wengi na kuwahurumia kwa sababu walikuwa wanakandamizwa na hawakuwa na tumaini; kama kondoo bila mchungaji wa kuwaongoza.

Konpare

Eksplore Mathayo 9:36

4

Mathayo 9:12

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alipowasikia wakisema hili, akawaambia, “Wagonjwa ndiyo wanaohitaji daktari si wenye afya.

Konpare

Eksplore Mathayo 9:12

5

Mathayo 9:35

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alisafiri akipita katika miji yote na vijiji. Alifundisha katika masinagogi yao na kuwaeleza watu Habari Njema kuhusu ufalme wa Mungu. Aliponya kila aina ya magonjwa na udhaifu.

Konpare

Eksplore Mathayo 9:35

Plan lekti ak devosyon gratis yo ki gen rapò ak Mathayo 9

Chapit Avan yo
Chapit suivan
YouVersion

Ankouraje ak defi pou w chèche entimite ak Bondye chak jou.

Ministè

Apwopo

Karyè yo

Volontè

Blòg

Peze

Lyen itil yo

Ed

Fè yon don

Vèsyon Bib yo

Odyo Bib yo

Diferan Lang yo nan Bib la

Vèsè Jodi a


Yon Ministè Digital nan

Life.Church
Kreyòl Ayisyen

©2026 Life.Church / YouVersion

Politik PriveTèm yo
Pwogram Divilgasyon Vilnerabilite
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest