Obadia UTANGULIZI
UTANGULIZI
Kitabu hiki cha nabii Obadia ni kidogo kuliko vitabu vyote vya manabii. Unabii wa Obadia unashugulikia mambo mawili: azabu ya taifa la Edomu (aya 1-14), na Siku ya Yawe ambapo Waisraeli watalipiza kisasi watu wa Edomu. Labda kitabu hiki kidogo sana kiliandikwa kule katika inchi ya Yuda muda mufupi mbele ya kurudi kutoka katika uhamisho.
נבחרו כעת:
Obadia UTANGULIZI: SWC02
הדגשה
שתפו
השווה
העתק
רוצים לשמור את ההדגשות שלכם בכל המכשירים שלכם? הירשמו או היכנסו
Bible in Swahili Congo © Bible Society of the Democratic Republic of Congo (DRC), 2002.