YouVersion-logo
RaamattuSuunnitelmatVideot
Hanki sovellus
Kielen valitsin
Hakukuvake

Suosittuja jakeita Raamatun kirjasta Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

Vertaa

Tutki Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Vertaa

Tutki Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.

Vertaa

Tutki Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

Vertaa

Tutki Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya.

Vertaa

Tutki Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

Swahili Revised Union Version

SRUVDC

Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

Vertaa

Tutki Mwanzo 2:25

Edellinen luku
Seuraava luku
YouVersion

Rohkaisemassa ja haastamassa sinua etsimään läheisyyttä Jumalan kanssa joka päivä.

Palvelutehtävä

Tietoa

Uramahdollisuudet

Vapaaehtoiseksi

Blogi

Lehdistö

Hyödyllisiä linkkejä

Apua

Lahjoita

Raamatunkäännökset

Ääniraamatut

Kielet

Päivän jae


Digitaalinen palvelutehtävä

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

YksityisyyskäytännötKäyttöehdot
Haavoittuvuuden paljastamisohjelma
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Koti

Raamattu

Suunnitelmat

Videot