Logo de YouVersion
Icono de búsqueda

Yohane 14:16-17

Yohane 14:16-17 SCLDC10

Nami nitamwomba Baba naye atawapeni Msaidizi mwingine, atakayekaa nanyi milele. Yeye ni Roho wa ukweli. Ulimwengu hauwezi kumpokea kwa sababu hauwezi kumwona wala kumjua. Lakini nyinyi mnamjua kwa sababu anabaki nanyi na yu ndani yenu.

Lee Yohane 14